Kumbe ni huyu? Litazame toto zito,saafi ambalo nusra liivunje ndoa ya na Sarah
Nicole Joyce Berry ndiye mwanadada katika video ya wimbo mpya wa Harmonize ‘Bedroom.’ Mwanadensi huyo mwenye talanta pia ni model na mfanybiashara.
Kwa siku kadhaa sasa Harmonize na mkewe Saraha wamenuniana huku kila mmoja akiacha kumfuta mwenzake katika mitandao ya kijamii . Inavuja sasa kwamba Sarah hajafurahia picha nyingi za mume wake na Nicole mitandaoni . Nicole amewekwa katikati ya mzozo kati ya Hamornize na mke wake .
Kutokana na ushahidi katika mitandao ya kijamii ,Hamornize ndiye aliyeanzisha vita kati yae na mkewe .
Katika posti moja ,aliashiria kwamba yeye na Nicole wangekuwa Couple nyingine kali sana endapo angekuwa single .Aliandika ;
ILA HIZI KAZI ZETU MUNGU NDIO ANATULINDA….!!!!!! NDIOMANA NIKAOGA MAPEMA HIVI NINGEKUWA SINGLE HUYU DADA INGEKUWAJE UNADHANI..??
Katika posti nyingine ,Harmonize alionekana kumtangaza Nicole kama mwanamke ambaye alikuwa Single
Niwaibie Siri Mtoto Anamakusudi Huyu..!!! Mbaya Zaidi Ananukia Kama Jinii..!!! Ndoa Za Ujanani Hizi..!! i made it Kibishiii Cous I’m Rastafarian ILA HII SHOT YA KITANDANI DAAH
Aliongeza ;
Mmiliki wa Hiyo Lamani Ya Africa Ni Mtazania Kivutia Chetu Kingine. Ushindwe Wewe….!!! Mie Simo…!!!
Nicole amewavutia mashabiki wengi kwa umbo lake la kuvunja na kweli urembo anao,zitazame picha zake