- 83949413_233746740955364_9074656927410428834_n (1)
- 89941418_2827164444048805_5203275199372954540_n (1)

NA NICKSON TOSI

Muigizaji na mcheshi aliyebarikiwa talanta ya kuigiza na Rabana Mulamwah amelazimika kuzika ndoto yake ya kuigiza katika kaburi la sahau baada ya kuingiliwa na hata kutukanwa na baadhi ya wakenya kwenye mitandao ya kijamii.

Mulamwah ambaye alitazamiwa na wengi kutia fora katika sanaa hiyo, ameweka picha mitandaoni ikimwonyesha akichoma vazi ambalo lilikuwa kama kitambulisho chake jukwaani na hata kuonekana akitokwa na machozi katika video hiyo.

 Tazama video yenyewe hapa.