21 May 2020 1 Min Read
KDF yatumwa kwenye mipaka ya Kenya na Ethiopia kuzuia watu kuingia nchini
by nickson tosi Habari
Kikosa cha wanajeshi wa humu nchini KDF wametumwa kwenye mipaka ya Kenya na Ethiopia haswa ile ya Sessi na Kore eneo la Moyale ili kuzuia watu kuingia nchini kupitia vichochoro baada ya serikali kudai kuwa maambukizi mengi yameanza kutokea kwenye mipaka ya taifa.
Tazama namma walivyofunga maeneo hayo.,
Rais Kenyatta alitangaza kufungwa kwa mipaka ya Kenya na mataifa jirani kutokana na idadi kubwa ya maambukizi ambayo yalikuwa yameanza kusajiliwa katika kaunti zinazopakana na mataifa hayo.
Shughuli za watu kuingia na kutoka katika mataifa jifrani pia zilisitishwa na serikali.