- pokoo 2
- poloo

Mwanamke mmoja huko Ghana amezua gumzo mitandaoni baada ya kuamua kusherehekea birthday ya mtoto wake mvulana kwa kupiga picha naye ,akiwa uchi wa mnyama bila nguo .

Hatua hiyo ya  mwanamke huyo aliyejitambulisha katika instagram kama  Akuapem Poloo imeawaanya wanaotumia mitandao kutoa maoni mbali mbali kuhusu hatua hiyo huku wengi wakimshtumu wakisema sio sawa kufanya hivyo .

Poloo katika ujumbe wake wanasema alimzaa mtoto wake akiwa uchi na hivyo basi hamna tatizo mtoto huyo akimuona akiwa uchi pia lakini watu wengi walionekana kutofautiana naye .

View Comments