Ripoti ya mkaguzi mkuu imefichua hali ya kifedha ya chama cha jubilee, huku ikionyesha kuwa chama hicho hakina fedha zozote huku wakisalia kuwa na deni kubwa.

Awali chama hicho kiliripotiwa kutegemea wasamaria wema na waliokopa pesa waweze kurudisha huku deni lao likizidi millioni 66.

Ripoti hiyo ilifichua katika ukaguzi wa kifedha wa mwaka wa 2017-2018, ripoti hiyo ilisoma kama vile ifuatavyo;

“The statement of financial position as at June 30, 2018, reflects current liabilities balance of Sh133,558,229 which exceeds current assets of Sh67,278,244 by Sh66,279,985 implying that the party was operating with a negative working capital, thus technically bankrupt

In the circumstances, the continued existence of the party is dependent on continued financial support from creditors, bankers and well-wishers." Ripoti ilisoma.

Ripoti hiyo ya kifedha imekuwa kikwazo kati ya katibu mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju na naibu wake Caleb Kositany.

Awali Tuju alimpa jibu Caleb kwa kutaka hati ya kifedha za chama hicho.

View Comments