28 July 2020 1 Min Read
Hapana Tambua Urembo? Tazama jinsi Polisi walivyomcharaza mwakilishi wa Mlango kubwa Patricia Mutheu
by Yusuf Juma Habari
- Mutheu 1
- mutheu 7
- mutheu 2
- mutheu 3
- mutheu 4
- mutheu 5
- mutheu 6
- mutheu 8
- mutheu 9
- mutheu 10
- mutheu 11
- mutheu 12
- mutheu 13
- mutheu 14
Mwakilishi wa kaunti wa Mlang Kubwa Patricia Mutheu amejipata pabaya baada ya polisi kumshambulia kwa rungu na makonde katika jengo la city hall .
Patricia alikuwa miongoni mwa wawakilishi wa kaunti waliokuwa wameenda City Hall kumpa spika wa bunge la kaunti Beatrice Elachi notisi ya kutaka kumfurusha afisini .
Baada ya wawakilishi wenzake kufurushwa kutoka jengo hilo , Mutheu alijipata pekee yake na polisi hawakumsaza kwani walimshambulia na kumpa kipigo kibaya .