- Mercy Mwangangi
- Mercy Mwangangi

Watu 679 wamepatikana na virusi vya corona na kufikishia idadi ya jumla 28,104 ya watu walioambukuzwa na virusi hivyo,katika saa 24 zilizopita, hii ni kutokana na sampuli 6,590 zilizopimwa Katibu wa utawala wa wizara ya Afra Mercy Mwangangi amesema.

Hayo yakijiri watu 18 wamepoteza maisha yao kutokana na virusi vya corona na kufikisha 456 ya watu walioaga dunia, pia watu 783 wameruhusiwa kuenda nyumbni baada ya kupona corona na kufikisha idadi ya watu

Wagonjwa 400 ni wanaume ilhali 279 ni wanawake, miongoni mwa walioaga ni mkuu wa wafanyakazi wa KEMRI.

Kati ya wagonjwa hao 658 ni wakenya na 21 ni taia wa kigeni huku mwenye umri wa chini ana mwezi mmoja na wa umri wa juu ana miaka 87.

View Comments