mafuta

Wakenya Wengi  wanajiuliza maswali kuhusu hatua ya Uganda kwenda Tanzania katika mradi wa ujenzi wa kilomita Zaidi ya 1400 za bomba la mafuta  na kuiacha Kenya ambayo ilitarajiwa kuhusishwa na mradi huo . Sikiliza podcast nzima kuhusu mradi huo na jinsi wakenya walivyokerwa kwa kuachwa nje.

&t=15s

Rais John Pombe Magufuli  wa Tanzania na mwenzake wa Uganda Yoweri Museveni  wiki jana walisaini mkataba wa mradi huo wenye gharama ya  dola bilioni 3.5 ambao utaiwezesha Tanzania kuunda nafasi elfu 18 za kazi kwa  raia wake .Je, ndio sababu ya masaibu hayo? Uganda imesema bomba hilo lingegharimu kiasu cha juu cha pesa upande wa Kenya na pia rais Museveni alikuwa na hou kuhusu hali ya usalama nchini Kenya .