29 September 2020 1 Min Read
Kila mtu anatetea kazi yake,Wabunge walalama kuhusu pendekezo la Maraga kulivunja bunge+Podi ya Yusuf Juma
by Yusuf Juma Habari
Ushauri wa Jaji mkuu David Maraga kwa rais Uhuru Kenyatta kwamba alivunje bunge kwa sababu ya kutotekelezwa kwa kanuni ya usawa wa kijinsia limewaghadhabisha baadhi ya viongozi.
Wabunge wengi wanasema hawapo tayari kwa uchaguzi na wamemkemea sana Maraga akisema anatishia kulitumbukiza taifa katika mgogoro wa kikatiba ,je wabunge wana sababu tosha kupinga hatua hiyo ama wanatetea kazi zao? .Sikiliza podi nzima kuhusu suala hili