In Summary
•Kuria medai kuwa anaumizwa sana na hali duni ya barabara inayoelekea Mukurwe Wa Nyagathanga ambako kulikuwa makazi yake Gikuyu na Mumbi.
•Ametangaza kufanya mkutano wa kutia saini mkataba wam kumtaka Macharia kutengeneza barabara hiyo karibu na Mukurwe Wa Nyagathanga ambako ibada ya kumtawaza Muturi itakuwa inaendelea siku ile.