In Summary
• Ruto aliambia mkutano huo kuwa kuna haja ya dharura kushughulikia suala la malimbikizi ya malipo ambayo takriban asilimia 60 ni malipo ya uzeeni.
• Mdhibiti wa Bajeti alifichua kuwa uzalishaji wa mapato katika kiwango cha kaunti ni hatua ambayo inaweza kufungua uwezo wa kiuchumi wa serikali za kaunti.