logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mkurugenzi mkuu wa CA Ezra Chiloba asimamishwa kazi

Christopher Wambua kama Mkurugenzi Mkuu katika Kaimu Nafasi yake kuanzia leo

image
na Radio Jambo

Habari18 September 2023 - 17:50

Muhtasari


  • Notisi kutoka kwa mwenyekiti wa bodi Mary Mungai aliwasilisha kusimamishwa kwake siku ya Jumatatu katika taarifa kufuatia mkutano wa bodi.
Ezra Chiloba

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Kenya Ezra Chiloba amesimamishwa kazi.

Notisi kutoka kwa mwenyekiti wa bodi Mary Mungai aliwasilisha kusimamishwa kwake siku ya Jumatatu katika taarifa kufuatia mkutano wa bodi.

Kutokana na hali hiyo, Christopher Wambua ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu.

“Kufuatia kikao cha Bodi ya Mamlaka kilichofanyika tarehe 18 Septemba 2023, na kusababisha Mkurugenzi Mkuu kusimamishwa kazi, ninayofuraha kuwajulisha wafanyakazi wote kuhusu uteuzi wa Bw.Christopher Wambua kama Mkurugenzi Mkuu katika Kaimu Nafasi yake kuanzia leo hadi nitakapotangazwa tena. imani kwamba utampa usaidizi unaohitajika," Mungai alisema katika taarifa yake

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved