19 July 2024 1 Min Read
Majina na nyuso mpya katika baraza la mawaziri la rais Ruto
Rais William Ruto amewateua makatibu 11 wa baraza la mawaziri kwa serikali yake
In Summary
•Uteuzi huo unajiri wiki kadhaa baada ya Rais kulifuta baraza lake lote la mawaziri isipokuwa Waziri Mkuu Musalia Mudavadi.
Rais William Ruto amewateua makatibu 11 wa baraza la mawaziri kwa serikali yake.
Uteuzi huo unajiri wiki kadhaa baada ya Rais kulifuta baraza lake lote la mawaziri isipokuwa Waziri Mkuu Musalia Mudavadi.
Katika hotuba yake katika Ikulu, Ruto alisema kundi la kwanza la wateule wa Baraza la Mawaziri litamsaidia katika kuendesha mageuzi yanayohitajika kwa haraka na yasiyoweza kutenduliwa nchini.
Rais ameteua sura mpya katika baraza lake la mawaziri.
Usafi wa Mazingira na Umwagiliaji - Eric Murithi Muga
Elimu - Julius Migosi
Dk Debra Mulongo Barasa - Afya
Dk Margaret Ndungu- ICT
Andrew Karanja - Kilimo