In Summary

•Uteuzi huo unajiri wiki kadhaa baada ya Rais kulifuta baraza lake lote la mawaziri isipokuwa Waziri Mkuu Musalia Mudavadi.

RAIS WILLIAM RUTO
Image: PCS

Rais William Ruto amewateua makatibu 11 wa baraza la mawaziri kwa serikali yake.

Uteuzi huo unajiri wiki kadhaa baada ya Rais kulifuta baraza lake lote la mawaziri isipokuwa Waziri Mkuu Musalia Mudavadi.

Katika hotuba yake katika Ikulu, Ruto alisema kundi la kwanza la wateule wa Baraza la Mawaziri litamsaidia katika kuendesha mageuzi yanayohitajika kwa haraka na yasiyoweza kutenduliwa nchini.

Rais ameteua sura mpya katika baraza lake la mawaziri.

Usafi wa Mazingira na Umwagiliaji - Eric Murithi Muga

Elimu - Julius Migosi

Dk Debra Mulongo Barasa - Afya

Dk Margaret Ndungu- ICT

Andrew Karanja - Kilimo

View Comments