logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Naibu rais William Ruto aeleza makosa ya uongozi wa Uhuru Kenyatta

Ruto alisema chini ya Kenyatta vita dhidi ya ufisadi vimeingizwa siasa huku wapinzani wakilengwa

image
na

Yanayojiri27 July 2022 - 12:25

Muhtasari


•Naibu rais siku ya Jumanne alidai kwamba rais Kenyatta alipuuza ushauri wake kuweka wazi kandarasi za mikopo baina ya Kenya na Uchina.

WILLIAM WANYOIKE

Naibu rais alitoa madai kuwa utovu wa usalama na mauaji yanayoshuhudiwa katika maeneo ya Kerio Valley yamechochewa kisiasa ili kuadhibu wafuasi wake.

Akizungumza Jumanne usiku katika mdahalo wa urais naibu rais pia alidai kuwa serikali ya Uhuru Kenyatta imesababisha kudidimia kwa sekta ya kilimo kutokana na  kuongezeka kwa pembejeo.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved