logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wanawake Maceleb waliopata watoto mabinti mwaka 2022

Hawa ni baadhi ya wanawake maarufu waliotangaza kubarikiwa na mabinti mwaka 2022.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri08 November 2022 - 06:09

Muhtasari


• Wanawake hawa wana ushawishi mbali mbali katika jamii kutoka ukuzaji maudhui mitandaoni, siasa, utangazaji na uanamuziki.

Maceleb walipata watoto wa kike

Mwaka wa 2022 umekuwa ni wenye Baraka na furaha tele kwa familia za watu wengi maarufu nchini Kenya.

Haya hapa ni maelezo kupitia grafiki ya picha kuhusu wanawake maarufu nchini Kenya ambao kufikia mwezi Novemba mwaka 2022, tayari wametangaza kupata watoto wa kike.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved