05 April 2023 1 Min Read
Anachotaka Raila kufanikisha mazungumzo na Ruto
Raila anataka mazungumo kama ya 20068 na kusimamiwa na mtu mashuhuri.
In Summary
• Kiongozi wa upinzani alitishia kuendelea na maandamano ikiwa matakwa ya Azimio hayataafikiwa.