In Summary

• Kama wewe ni mpenzi wa samani za kutoka nje ya nchi, na unalenga kuagiza fenicha hizo kutoka nje ya ukanda wa Afrika Masahriki basi utatozwa ushuru wa 30%.

• Vyombo vya habari navyo vitatozwa ushuru wa 15% kwa kila tangazo la vileo na kamari.

Jinsi Wakenya watabeba mzigo mzito wa ushuru katika mwaka mpya wa kifedha kuanzia Julai 1.
Image: WILLIAM WANYOIKE
View Comments