03 July 2023 1 Min Read
Wachezaji wa soka Ulaya ambao wamefunga harusi na wapenzi wao Kati ya Mei na Julai
Tangu Mei, walinda lango 4 akiwemo Arrizabalaga wa Chelsea, Courtois wa Real Madrid, Ramsdale wa Arsenal na de Gea wa Man U wamefunga harusi.
In Summary
• Msimu huu umeshuhudia wachezaji wengi Ulaya wakifunga harusi na wapenzi wao wa muda mrefu, idadi mpaka sasa ikiwa zaidi ya 8.