18 July 2023 1 Min Read
INFO: Safari ya mapenzi ya Baha na Georgina; yalizaliwa 2020 na kufa 2023
Georgina alitangaza kumtema Baha na siku chache baadae akaonekana akijivinjari maisha kwenye klabu ya starehe akivuta shisha kwa furaha tele.
In Summary
• Wawili hao walianza kuchumbiana mwaka 2020 na miaka miwili baadae walibarikiwa na mtoto binti.
• Georgina ndiye amefichua kumuacha Baha baada ya shtuma ya ulaghai na uraibu wa kamari.