In Summary

• Wawili hao walianza kuchumbiana mwaka 2020 na miaka miwili baadae walibarikiwa na mtoto binti.

• Georgina ndiye amefichua kumuacha Baha baada ya shtuma ya ulaghai na uraibu wa kamari.

MAPENZI Baha Machachari apigwa buti na Georgina
Image: HILLARY BETT
View Comments