20 July 2023 1 Min Read
INFO:Wanamichezo wa kiume walioondolewa tuhuma za unyanyasaji wa kijinsia
Ryan Giggs, mkongwe wa Manchester United alipoteza kazi yake kama kocha wa Wales baada ya kutuhumiwa kumdhulumu kingono mwanamke mmoja lakini juzi ameondolewa mashataka hayo.
In Summary
• Kinda Mason Greenwood aliondolewa mashtaka mwezi Februari na wikendi jana alitanagza kupata mtoto na mrembo wake aliyemshtaki.