26 July 2023 1 Min Read
Hasara ya maandamano: Magari 158 ya polisi, vituo 9 kuchomwa...
Katibu wa kudumu katika wizara ya usalama wa ndani Raymond Omollo alisema maafisa 305 wa polisi walijeruhiwa kwa kushambuliwa na waandamanaji.
In Summary
• Barabara 69 ziliharibiwa na majumba 199 yakiharibiwa kwa mawe.