In Summary
•Wakenya wamevutiwa na mshambulizi matata wa Uingereza, Lauren James ambaye wengi wanaamini anafanana sana na mwanahabari Betty Kyallo.
•Baadhi ya Wakenya wengine mashuhuri akiwemo waziri wa zamani Fred Matiang’i, mwanahabari Joshua Arap Sang, Njugush na wengine pia wamelinganishwa na mastaa wengine mashuhuri wa kimataifa.