logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Matetemeko ya ardhi mabaya zaidi kutokea katika miongo miwili iliyopita

Zaidi ya watu 300,000 katika eneo la Marrakesh, Morocco na viunga vyake wameathiriwa na janga hilo.

image
na Radio Jambo

Habari11 September 2023 - 12:36

Muhtasari


•Zaidi ya watu 300,000 katika eneo la Marrakesh, Morocco na viunga vyake wameathiriwa na janga hilo. 

•Katika grafiki ya leo, tunaangazia mataifa mengine ambayo yamekumbwa na mitetemeko mibaya ya ardhi katika miaka ya hivi majuzi.

mabaya zaidi katika miongo miwili iliyopita (2003-2023)
mabaya zaidi katika miongo miwili iliyopita (2003-2023)

Siku ya Ijumaa, nchi ya Morocco ilikumwa na tetemeko mbaya la ardhi la kipimo cha 6.8. Zaidi ya watu 300,000 katika eneo la Marrakesh na viunga vyake wameathiriwa na janga hilo. 

Waokoaji bado wanahangaika kuokoa familia nzima zilizokwama chini ya vifusi vya majengo yaliyoanguka, haswa katika vijiji. Zaidi ya watu 2,000 wamejeruhiwa - zaidi ya 1,400 wakiwa wamejeruhiwa vibaya Kwa kuhofia mitetemeko ya baadaye, wenyeji katika jiji kuu la kusini la Marrakesh pia walilala nje mahali pa wazi jana usiku.

Katika grafiki ya leo, tunaangazia mataifa mengine ambayo yamekumbwa na mitetemeko mibaya ya ardhi katika miaka ya hivi majuzi.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved