28 September 2023 1 Min Read
Nyakati mastaa walichangisha mitandaoni kwa waliohitaji misaada
Usiku wa Jumanne, tiktoker Nyako aliongoza mashabiki wake katika mtandao wa TikTok kuchangisha zaidi ya nusu milioni kwa ajili ya mtangazaji mweney masaibu Kimani Mbugua.
In Summary
• Licha ya kuwa na kauli ambazo haziwafurahishi wengi, Andrew Kibe pia amewahi kuchangisha kwa ajili ya wakuza maudhui Rex Papi na KK Mwenyewe.