logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tazama ubunifu wa msanii jukwaani kwenye Wasafi Festival 2023

Wasanii waliofanya ubunifu jukwaani ni pamoja na bosi wa Wasafi Diamond Platnumz, Mbosso, Zuchu, Rayvanny na Whozu.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri02 October 2023 - 12:05

Muhtasari


•Baadhi ya wasanii waliofanya ubunifu jukwaani ni pamoja na bosi wa Wasafi Diamond Platnumz, Mbosso, Zuchu, Rayvanny na Whozu.

Wasanii wa Bongo wameendelea kuonyesha ubunifu mkubwa jukwaani wakati wakitumbuiza katika tamasha la Wasafi Festival 2023 linaloendelea.

Baadhi ya wasanii waliofanya ubunifu jukwaani ni pamoja na bosi wa Wasafi Diamond Platnumz, Mbosso, Zuchu, Rayvanny, Whozu na Lavalava.

Miongoni mwa mambo ya kibunifu ambayo wasanii mbalimbali wameweza kufanya ni pamoja na kutengeneza mandhari ya kijijini jukwaani, kupandishwa jukwaani kwenye jeneza na kuvaa sare za shule.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved