•Rais wa FIFA, Gianni Infantino na kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger walikuwepo mnamo siku ya ufunguzi.
Unachohitaji kujua kuhusu Ligi ya Soka ya Afrika (AFL)
Image: WILLIAM WANYOIKE
Unachohitaji kujua kuhusu Ligi ya Soka ya Afrika (AFL)
Image: WILLIAM WANYOIKE
Ilitangazwa na rais wa FIFA, Gianni Infantino mwaka wa 2019.Ilizinduliwa mara ya kwanza na CAF mnamo Agosti 10, 2022.Ilianza rasmi Oktoba 20, 2023 jijini Dar es Salaam, Tanzania.Rais wa FIFA, Gianni Infantino na kocha wa zamani, Arsene Wenger walikuwepo siku ya ufunguzi.Ilipangwa kujumuisha vilabu 24, CAF ikapunguza hadi 8 kwa msimu wa kwanza.Timu zilichaguliwa kutoka kwa ligi 8 bora barani Afrika.Timu zote zinazoshiriki zina uhakika wa kutunzwa Ksh 150mTimu zitakazotinga nusu fainali zitazawadiwa Ksh 255.1mTimu itakayoibuka ya pili itaondoka na Ksh 450.24mWashindi watapata Ksh 600.32m