24 October 2023 1 Min Read
Erico wa Michango: Baadhi ya kampeni za mitandaoni zilizoandaliwa na Eric Omondi
Katika kipindi cha siku 3, mwanaharakati huyo amechangisha takribani milioni moja na nusu kwa ajili ya kina mama wawili walioburuzwa na askari wa kanjo jijini Nairobi.
In Summary
• Omondi ambaye amejikita katika uanaharakati amekuwa akiwatembea watu wa makundi mbali mbali kwa ajili ya kuwapa misaada ya kifedha.