In Summary

•Timu bora ya Afrika ni Morocco ambayo imeorodheshwa katika nambari 13 katika orodha ya FIFA ikiwa imevuna pointi 1658.49.

Timu 10 bora za Afrika mwaka 2023.
Image: WILLIAM WANYOIKE

Timu bora ya Afrika ni Morocco ambayo imeorodheshwa katika nambari 13 katika orodha ya FIFA ikiwa imevuna pointi 1658.49. Senegal ambayo ni timu ya pili bora Afrika imeorodheshwa ya 20 duniani ikiwa na pointi 1600.82 ikifuatiwa na Tunisia ambayo imeshika nafasi ya 32 duniani kwa pointi 1516.14.

View Comments