In Summary

• Kenyatta alisherehekea kufikisha miaka 62 ambapo wakenya wengi walifurika mitandaoni kumtumia jumbe za kheri njema.

• Wakaazi wa Gatundu, ambako ni nyumbani kwake walijitokeza sokoni kwa wiki na kumuomba radhi kwa kutofuata mrengo aliowarai kuchagua katika uchaguzi wa mwaka jana.

•Viongozi wengine wanaosherehekea kuzaliwa Oktoba ni Esther Passaris, Anyang' Nyong'o miongoni mwa wengine.

Uhuru Kenyatta
View Comments