In Summary

• Zaidi ya watu 21 wamepoteza maisha yao kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali nchini.

• Jumla ya watu elfu hamsini,wameathirika kufikia sasa,huku zaidi ya waathiriwa  elfu kumi na tatu wakiwa wa Kaskazini Mashariki.

Athari zilizo sababishwa na mvua inayoyenyesha mchini
Image: ROSA MUMANYI
View Comments