In Summary

•Notisi ya gazeti la serikali iliyochapishwa hivi majuzi na Waziri wa Mambo ya Ndani Kindiki Kithure ilidokeza kuongezeka kwa ada kwa stakabadhi kadhaa za serikali.

•Alhamisi, Mahakama ilitoa maagizo ya kusitisha utekelezwaji wa ada mpya kwa stakabadhi kadhaa za serikali ambazo zilitangazwa kwenye gazeti la serikali siku chache zilizopita.

Image: ROSA MUMANYI
View Comments