14 November 2023 1 Min Read
Unachohitaji kujua kuhusu Koffi Olomide na ziara yake nchini mwezi ujao
Atatumbuiza Kenya mnamo Desemba 9.
In Summary
• Olomide atarejea nchini kwa mara ya kwanza tangu 2016 alipofurushwa Kenya kutokana na tukio la kumpiga teke mwanamke.