29 November 2023 1 Min Read
Wanahabari waliofariki mwaka 2023
Mapema Jumanne habari za kifo cha Sally Kwendo Benson, aliyekuwa mtangazaji wa West FM na KBC Radio Taifa ziliwashtua sana wengi.
In Summary
• Wengi wa wanahabari waliofariki ni wakongwe ambao walianza taaluma zao enzi ya KBC.