05 December 2023 1 Min Read
Magavana ambao wametofautiana kisiasa na manaibu wao tangu uchaguzi 2022
Wiki moja iliyopita, naibu gavana wa Kisii Robert Monda aliweka wazi kwamba yeye na gavana Simba Arati wametofautiana katika masuala kadhaa.
In Summary
• Trans Nzoia gavana Natembeya wametofautiana vikali na naibu wake Philomena Kapkory.
• Natembeya anamtuhumu naibu wake kwa ulafi wa uongozi.