In Summary
•Hazard ambaye anajulikana sana kwa wakati wake Chelsea na Real Madrid aliwashangaza wengi wakati alitangaza kustaafu mwezi Oktoba.
•Theo Walcott ambaye alichezea Arsenal, Everton na Southampton alitangaza kustaafu kwake wiki iliyopita baada ya kucheza kwa takriban miongo miwili.