25 January 2024 1 Min Read
Unachohitaji kujiunga na Chuo cha huduma kwa vijana (NYS)
Zoezi la usajili litafanywa kati ya Februari 5 hadi Februari 9, 2024 katika kaunti zote nchini.
In Summary
• Unahitaji kuwa raia wa Kenya, kitamblisho cha kitaifa pamoja na stakabadhi zako za masomo.