23 May 2024 1 Min Read
Fahamu makocha wanaopigiwa upatu kuiongoza Chelsea baada ya kuondoka kwa Pochettino
Chelsea walitangaza Mei 21 kwamba walifikia uamuzi wa pande zote mbili kusitisha mkataba wa Muargentina huyo baada ya kumaliza msimu wakiwa namba 6 kutoka namba 12 msimu uliopita.
In Summary
• Kocha mchanga asiyezidi umri wa miaka 50, mwenye maendeleo ndilo chaguo ambalo klabu hiyo ya London inapatia kipaumbele zaidi katika tafuta tafuta zao.