23 May 2024 1 Min Read
Timu za Ulaya zilizoshiriki msururu wa mechi nyingi bila kushindwa katika msimu wa soka
Ubikira wa Bayer Leverkusen ulivunjwa usiku wa Mei 22 na Atalanta katika fainali ya Europa League na mchezaji wa Nigeria Ademola Lookman ambaye aliwafunga hattrick.
In Summary
• Leverkusen walikuwa wamekwenda kwa mechi 51 bila kushindwa, huku wakimaliza ligi ya Bundesliga bila kupoteza mechi hata moja.