In Summary

•Kizazi Alpha ndicho kizazi cha hivi punde ziadi kinachojumuisha watoto waliozaliwa baada ya 2010, ilhali kizazi cha GI kinajumuisha wahenga waliozaliwa kati ya 1901-1927.

Maelezo ya vizazi tofauti na miaka ya kuzaliwa

Kizazi cha Z kinavuma Kenya baada ya kuhusika zaidi kwenye maandamano ya Jumanne

 Kizazi cha Wahenga (GI Generation) Waliozaliwa 1901-1927

 Kizazi Kimya Waliozaliwa 1928-1945

 Kizazi Baby Boom Waliozaliwa 1946-1964

 Kizazi X (Gen X) Waliozaliwa 1965-1980

 Kizazi Milennial Waliozaliwa 1981-1996

 Kizazi Z (Gen Z) Waliozaliwa 1997-2010

 Kizazi Alpha Waliozaliwa 2010-2024

Chanzo: Jarida la Parents

View Comments