18 July 2024 1 Min Read
Ripoti ya vifo na majeraha kutokana na maandamano ya kupinga serikali, kufikia Julai 16
Kufikia Julai 16, vifo 50 vilikuwa vimeripotiwa katika kaunti 17, Nairobi ikiongoza kwa vifo vya watu 21 ikifuatwa na Eldoret iliyoko kaunti ya Uasin Gishu kwa vifo 4.
In Summary
• Kufikia Julai 16, watu 413 walikuwa wamejeruhiwa kote nchini katika maandamano, kwa mujibu wa shirika la kutetea haki za kibinadamu KNCHR.