In Summary

•Kamati ya Olimpiki ya Paris imeomba radhi kwa baadhi ya makosa kama vile Korea Kusini kutambulishwa kama Korea Kaskazini, picha ya mfano wa ‘Last Supper' kutumika, na Sudan Kusini kuchezewa wimbo wa taifa usio sahihi.

Olimpiki ya Paris Makosa yaliyojitokeza siku za kwanza za mashindano.
View Comments