In Summary

•Yavi alihamia Bahrain mwaka wa 2016, akiwa na umri wa miaka 15 baada ya kukosa nafasi katika timu ya Kenya.

•Licha ya kuwa na utaifa wa Bahrain, mara nyingi Yavi yuko Kenya kwani kuna mazingira bora kwa mazoezi.

Winfred Yavi Mwanariadha mzaliwa wa Kenya anayewakilisha Bahrain
Image: WILLIAM WANYOIKE
View Comments