09 August 2024 1 Min Read
Makampuni ambayo yamesitisha shughuli zao Kenya kati ya 2023 na 2024 Agosti
Siku chache zilizopita, kampuni ya kutengeneza magari Mobius ilitangaza kufunga milango yako Kenya baada ya miaka 13.
In Summary
• Mwaka jana, makampuni mengi yalitangaza kufunga shughuli zake kutokana na hali mbaya ya kiuchumi.