20 August 2024 1 Min Read
Black Spots: Maeneo yenye ajali nyingi katika barabara za Bonde la Ufa
Eneo la Salgaa hadi ADC Farm na barabara ya Kinungi - Naivasha- Gilgil ni maeneo ambayo yamegharimu maisha ya wengi kufuatia ajali za mara kwa mara.
In Summary
• Asubuhi ya Jumanne ajali ilitokea eneo la Migaa na kugharimu maisha ya watu zaidi ya 10.