In Summary

• Gavana wa Meru Kawira Mwangaza amekuwa akipitia masaibu kama yale yaliyomkuta gavana wa kwanza wa Embu Martin Wambora.

• Mwangaza aliokolewa na seneti mara 2 lakini mara ya 3 seneti ilidumisha uamuzi wa bunge la kaunti ya Meru kumbandua ofisini.

Magavana kutimuliwa ofisini,
Image: WILLIAM WANYOIKE
View Comments