22 August 2024 1 Min Read
Arsenal na Man Utd zatupwa nje UEFA ikiorodhesha vilabu bora vya soka kwa mwaka 2024
Licha ya kusuasua katika miaka ya hivi karibuni, klabu ya Chelsea bado ilijinafasi katika nafasi ya 9 huku Arsenal na Man Utd wakitupwa nje ya kumi bora.
In Summary
• Ligi ya EPL inawakilishwa na vilabu vitatu, Man City katika nafasi ya kwanza, Liverpool katika nafasi ya nne na Chelsea katika nafasi ya 9.