10 September 2024 1 Min Read
Matukio ya moto shuleni katika kipindi cha wiki moja iliyopita
Mkasa mbaya zaidi kutokea katika kipindi cha wiki moja iliyopita ni ule wa moto katika shule ya msingi ya Hillside Endarasha uliogharimu maisha ya watoto 21`.
In Summary
• Nyingi ya shule ambazo visa vya moto vimeripotiwa ni shule za upili, ikiwa ni wiki 2 tu baada ya shule kufunguliwa kwa muhula wa 3.