09 February 2024 1 Min Read
Mauaji ya Monica: Mahakama yaghairi dhamana ya Jowie Irungu
Hakimu Grace Nzioka alisema kuwa mstakiwa kushikiliwa chini ya ulizi hadi Machi 8, 2024.
In Summary
- "Ninafuta dhamana yako. Utazuiliwa hadi tarehe 8 Machi," Hakimu Grace Nzioka alisema.
Mahakama imeghairi dhamana ya Jowie Irungu baada ya kutiwa hatiani.
Hakimu Grace Nzioka alisema kuwa mstakiwa kushikiliwa chini ya ulizi hadi Machi 8, 2024.
"Ninafuta dhamana yako. Utazuiliwa hadi tarehe 8 Machi," Hakimu Grace Nzioka alisema.