In Summary
  • Kuna sababu nyingi tofauti ambazo wanawake hudanganya
  • Bado, wanawake wengine wanasema wanadanganya kwa sababu tu wanataka

Wanandoa wengi hawafikirii kamwe uhusiano waoutaisha kwa ajili ya ukafiri. Lakini ukweli ni kwamba kudanganya kunaweza kutikisa hata ndoa zenye furaha zaidi.

Kuna sababu nyingi tofauti ambazo wanawake hudanganya.

Kwa nini wanawake hudanganya? Wanawake wengine hudanganya ili kuepuka kuchoka; wanawake wengine hudanganya kwa sababu wanahisi kutelekezwa.

Bado, wanawake wengine wanasema wanadanganya kwa sababu tu wanataka. Sababu za uaminifu ni ngumu na ya kipekee kwa kila uhusiano

Hii apa baadhi ya sababu hizo;

1.Pesa

Kuna baadhi ya wanawake ambao watadanganya waume zao kwa ajili ya pesa, ndio atasiriki tendo la ndoa na mwanamume mwingine ili apae pesa kwa maana mumewe hana pesa hizo au zile anahitaji ili kutimiza maihitaji yake.

2.Kuepuka kuchoka

Baadhi ya wanawake huisi wamechoka na waume zao, basi wanaamua kudanganya na wanaume wengine.

3.Kulipiza kisasi

Labda alimpata mumewe akiwa amedanganya naye pia anaamua kulipiza kisasi na mwanamume mwingine.

4.Mchezo bora kitandani

Kuna baadhi ya wanaume ambao hawawezi kufanya teno la ndo vyema, haya basi anasababisha mwanamke au mke wake kuenda nje ya ndoa ili kupata mchezo bora.

Kulingana na maoni yako kwa nini baadhi ya wanawake hudanganya katika ndoa?

 

View Comments