19 July 2024 1 Min Read
Mawaziri wa zamani kutoka baraza lililovunjwa na ambao wamerudishwa kwenye baraza jipya
Kindiki,Duale ,Soipan Tuya ni miongoni mwa walioteuliwa tena.
In Summary
•Kindiki,Duale ,Soipan Tuya ni miongoni mwa walioteuliwa tena.
Rais William Ruto amewateua mawaziri 11 wa baraza la mawaziri kwa serikali yake huku wengine wa mawaziri wakiteuliwa tena.
Tazama Orodha ya mawaziri walioteuliwa tena;
Kithure Kindiki - mambo ya ndani na utawala wa kitaifa
Aden Duale - Ulinzi
Alice Wahome - ardhi
Davis Chirchir - barabara
Soipan Tuya -Mazingira
Rebecca Miano-Mwanasheria mkuu